Timu ya Taifa Star leo imeondoshwa kwenye kinyang'anyiro cha kushiriki kombe la mataifa ya Afrika huko Morroco baada ya kukubali kufungwa magoli 2 kwa 1 na Msumbiji. Timu ya tanzania imetolewa kwa jumla ya magoli manne baada ya kulanzimishwa sare ya 2-2 katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam mwishoni mwa mwezi wa saba
>>> Like page yetu kusoma zaidi
